Hatimae Yanga wameweka rekodi yao sawa uwanja wa Uhuru
Baada ya kuandamwa na kutofanya vizuri kwa club ya Dar es salaam Young Africans katika uwanja wa Uhuru ambao ndio wanautumia kama uwanja wao wa nyumbani, leo wamefanikiwa kupata ushindi mnono wa magoli 5-0 dhidi ya Mbeya City.

No comments